Friday, May 24, 2013
Tukutane pamoja
Ni mara chache sana watu wanakaa na kuzungumza kuhusu mambo mengi tofauti ukipata hiyo nafasi basi kuwa pamoja na wenzzako kwa furaha na amani...
Upendo ndio nguzo thabiti hiyo ndani ya KINGSTONE....
Sunday, May 19, 2013
Shangwee hizo
Huyu ni moja kati ya mashabiki wa timu ya Dar YOUNG African akiwa ameweka style hiyo kuiwakilisha timu ya Yanga ambayo jana iliondoa uteja kwa timu ya simba baada ya kuitandika goli 2 bila...YANGA BINGWA
Happy B day Rooney
18/5....NI SIKU YA KUZALIWA MWENETU ROONEY....Hapo bibi mdogo
Hapo napo Bibi mkubwaaaa chukua hiyoooo
Mshua nawe pokea pande hilo la keki...tanx Dad
Hapo napo Bibi mkubwaaaa chukua hiyoooo
Mshua nawe pokea pande hilo la keki...tanx Dad
Wednesday, May 15, 2013
Maandalizi
Kikosi cha Mwaka wa 1 MUM
Mwanahabari wa MUM akiwa uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya mechi za ligi kuu vodacom zinazoendelea kwenye viwanja mbalimbali ambapo tarehe 18 May siku ya Jumamosi tutakuwa pale uwanja wa taifa kukujulisha yale yatakayojiri kwenye mechi kati ya Dar Young Africans dhidi ya Simba Sport club zote kutoka jijini Dar es salaam
KiKosi cha Mwaka wa tatu MUM
Tanzania National Stadium
Jamii ya wanamichezo wakiwa kwenye jukwaa la MUM stadium
Mwanahabari wa MUM akiwa uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya mechi za ligi kuu vodacom zinazoendelea kwenye viwanja mbalimbali ambapo tarehe 18 May siku ya Jumamosi tutakuwa pale uwanja wa taifa kukujulisha yale yatakayojiri kwenye mechi kati ya Dar Young Africans dhidi ya Simba Sport club zote kutoka jijini Dar es salaam
KiKosi cha Mwaka wa tatu MUM
Tanzania National Stadium
Jamii ya wanamichezo wakiwa kwenye jukwaa la MUM stadium
Tuesday, May 7, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)