Kikosi cha Mwaka wa 1 MUM
Mwanahabari wa MUM akiwa uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya mechi za ligi kuu vodacom zinazoendelea kwenye viwanja mbalimbali ambapo tarehe 18 May siku ya Jumamosi tutakuwa pale uwanja wa taifa kukujulisha yale yatakayojiri kwenye mechi kati ya Dar Young Africans dhidi ya Simba Sport club zote kutoka jijini Dar es salaam
KiKosi cha Mwaka wa tatu MUM
Tanzania National Stadium
Jamii ya wanamichezo wakiwa kwenye jukwaa la MUM stadium
No comments:
Post a Comment