Sunday, November 10, 2013
Wednesday, August 28, 2013
Wednesday, June 26, 2013
Friday, May 24, 2013
Tukutane pamoja
Ni mara chache sana watu wanakaa na kuzungumza kuhusu mambo mengi tofauti ukipata hiyo nafasi basi kuwa pamoja na wenzzako kwa furaha na amani...
Upendo ndio nguzo thabiti hiyo ndani ya KINGSTONE....
Sunday, May 19, 2013
Shangwee hizo
Huyu ni moja kati ya mashabiki wa timu ya Dar YOUNG African akiwa ameweka style hiyo kuiwakilisha timu ya Yanga ambayo jana iliondoa uteja kwa timu ya simba baada ya kuitandika goli 2 bila...YANGA BINGWA
Happy B day Rooney
18/5....NI SIKU YA KUZALIWA MWENETU ROONEY....Hapo bibi mdogo
Hapo napo Bibi mkubwaaaa chukua hiyoooo
Mshua nawe pokea pande hilo la keki...tanx Dad
Hapo napo Bibi mkubwaaaa chukua hiyoooo
Mshua nawe pokea pande hilo la keki...tanx Dad
Wednesday, May 15, 2013
Maandalizi
Kikosi cha Mwaka wa 1 MUM
Mwanahabari wa MUM akiwa uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya mechi za ligi kuu vodacom zinazoendelea kwenye viwanja mbalimbali ambapo tarehe 18 May siku ya Jumamosi tutakuwa pale uwanja wa taifa kukujulisha yale yatakayojiri kwenye mechi kati ya Dar Young Africans dhidi ya Simba Sport club zote kutoka jijini Dar es salaam
KiKosi cha Mwaka wa tatu MUM
Tanzania National Stadium
Jamii ya wanamichezo wakiwa kwenye jukwaa la MUM stadium
Mwanahabari wa MUM akiwa uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya mechi za ligi kuu vodacom zinazoendelea kwenye viwanja mbalimbali ambapo tarehe 18 May siku ya Jumamosi tutakuwa pale uwanja wa taifa kukujulisha yale yatakayojiri kwenye mechi kati ya Dar Young Africans dhidi ya Simba Sport club zote kutoka jijini Dar es salaam
KiKosi cha Mwaka wa tatu MUM
Tanzania National Stadium
Jamii ya wanamichezo wakiwa kwenye jukwaa la MUM stadium
Tuesday, May 7, 2013
Tuesday, April 30, 2013
happy inside
kutoka kushoto ni Luqman, Nabil, Mama ,Raudhat na Akram..family iko na furaha inside..be happy ever
Hapo kuna Mish na mwanae Nairat aliyembeba,Najma, Akram, Luqman aliyebebwa, Nabil na Anwary
Dox Danta the father, Alimbesu,Bibi mbesu na solo cowboy..
Dox Danta na Mkali Bestinho
Hapo kuna Mish na mwanae Nairat aliyembeba,Najma, Akram, Luqman aliyebebwa, Nabil na Anwary
Dox Danta the father, Alimbesu,Bibi mbesu na solo cowboy..
Dox Danta na Mkali Bestinho
Tuesday, April 23, 2013
Tumaini, Mkwawa at Iringa
Hapo mzigo unaelekea Zambia 6 cars juu ya ndinga moja
Moja ya ajali tulizokutana nazo njia ya Iringa karib kabisa na kitonga
Maalim Hamis akiwa kwenye uskani tunapanda kitonga moja..
Hao jamaa ni kweree sanaa yani hapo ni mlima kitonga lakini overtake kama kawaida man wangu si umeona mziki huo..!!??aibu mwanangu
Timu yA MUM ndani ya cafeteria ya Mkwawa...
Papa with I2RI MAN...NA Picha ya Mkwawa
Papa with Danta..NA Picha ya Mkwawa
Mr Kamugisha akifanya interview na EBONY FM Radio Iringa town
Anu akiwa mjengoni Ebony Fm Radio Iringa
Mussa Ebony presenter
Host wa kipindi cha michezo EBONY FM RADIO
Kutoka kushoto ni Mr Kamugisha, Juddy, Danta na Soggy Doggy Hunter EBONY FM RADIO
Timu ya MUM ikipiga zoezi la nguvu viwanja vya Tumaini
Hichi ndicho kikosi cha MUM kilichoibamiza Tumaini mabao 4-1 kwenye uwanja wao wa nyumbani Iringa semtema..
Hizo ni shangwe za ushindi wa timu ya MUM kutoka Morogoro to Iringa kwenda kuwatandika Tumaini goli 4-1
Ilikuwa ni furaha sana kurudi moro na ushindi wa nguvu amani kwenu wachezaji wote wa MUM TEAM
Moja ya ajali tulizokutana nazo njia ya Iringa karib kabisa na kitonga
Maalim Hamis akiwa kwenye uskani tunapanda kitonga moja..
Hao jamaa ni kweree sanaa yani hapo ni mlima kitonga lakini overtake kama kawaida man wangu si umeona mziki huo..!!??aibu mwanangu
Timu yA MUM ndani ya cafeteria ya Mkwawa...
Papa with I2RI MAN...NA Picha ya Mkwawa
Papa with Danta..NA Picha ya Mkwawa
Mr Kamugisha akifanya interview na EBONY FM Radio Iringa town
Anu akiwa mjengoni Ebony Fm Radio Iringa
Mussa Ebony presenter
Host wa kipindi cha michezo EBONY FM RADIO
Kutoka kushoto ni Mr Kamugisha, Juddy, Danta na Soggy Doggy Hunter EBONY FM RADIO
Timu ya MUM ikipiga zoezi la nguvu viwanja vya Tumaini
Hichi ndicho kikosi cha MUM kilichoibamiza Tumaini mabao 4-1 kwenye uwanja wao wa nyumbani Iringa semtema..
Hizo ni shangwe za ushindi wa timu ya MUM kutoka Morogoro to Iringa kwenda kuwatandika Tumaini goli 4-1
Ilikuwa ni furaha sana kurudi moro na ushindi wa nguvu amani kwenu wachezaji wote wa MUM TEAM
Subscribe to:
Posts (Atom)