Friday, May 24, 2013

Tukutane pamoja





Ni mara chache sana watu wanakaa na kuzungumza kuhusu mambo mengi tofauti ukipata hiyo nafasi basi kuwa pamoja na wenzzako kwa furaha na amani...
Upendo ndio nguzo thabiti hiyo ndani ya KINGSTONE....

Sunday, May 19, 2013

Shangwee hizo


Huyu ni moja kati ya mashabiki wa timu ya Dar YOUNG African akiwa ameweka style hiyo kuiwakilisha timu ya Yanga ambayo jana iliondoa uteja kwa timu ya simba baada ya kuitandika goli 2 bila...YANGA BINGWA

Happy B day Rooney

  18/5....NI SIKU YA KUZALIWA MWENETU ROONEY....Hapo bibi mdogo
       Hapo napo Bibi mkubwaaaa chukua hiyoooo
 Mshua nawe pokea pande hilo la keki...tanx Dad

Wednesday, May 15, 2013

Maandalizi

                                       Kikosi cha Mwaka wa 1 MUM
                                       Mwanahabari wa MUM akiwa uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya mechi za ligi kuu vodacom zinazoendelea kwenye viwanja mbalimbali ambapo tarehe 18 May siku ya Jumamosi tutakuwa pale uwanja wa taifa kukujulisha yale yatakayojiri kwenye mechi kati ya Dar Young Africans dhidi ya Simba Sport club zote kutoka jijini Dar es salaam
                                  KiKosi cha Mwaka wa tatu MUM
                            Tanzania National Stadium
                                 Jamii ya wanamichezo wakiwa kwenye jukwaa la MUM stadium

Tuesday, May 7, 2013

Ina' Studio

 Kijana Abutricker akiwa mitamboni namna hiyo huku pembeni ni Mr Irigo
                                          Dox Danta kama kawaida ndani ya Mjengo mia mia
                                          Huyu ni Mariam Nina very charming lady aminia sana dada
                                          This is Hamad Simao kijana wa PR
  Mr Salim the Camera Man of Abood media akiwa mzigoni namna hiyo!
                                          PM Irene
                                          CR Jaala

Tuesday, April 30, 2013

happy inside

 kutoka kushoto ni Luqman, Nabil, Mama ,Raudhat na Akram..family iko na furaha inside..be happy ever
 Hapo kuna Mish na mwanae Nairat aliyembeba,Najma, Akram, Luqman aliyebebwa, Nabil na Anwary
 Dox Danta the father, Alimbesu,Bibi mbesu na solo cowboy..
                                          Dox Danta na Mkali Bestinho

Tuesday, April 23, 2013

Tumaini, Mkwawa at Iringa

                                        Hapo mzigo unaelekea Zambia 6 cars juu ya ndinga moja
                                      Moja ya ajali tulizokutana nazo njia ya Iringa karib kabisa na kitonga
                                         Maalim Hamis akiwa kwenye uskani tunapanda kitonga moja..
             Hao jamaa ni kweree sanaa yani hapo ni mlima kitonga lakini overtake kama kawaida   man wangu si umeona mziki huo..!!??aibu mwanangu
                                         Timu yA MUM ndani ya cafeteria ya Mkwawa...
                                         Papa with I2RI MAN...NA Picha ya Mkwawa
                                         Papa with Danta..NA Picha ya Mkwawa
                              Mr Kamugisha akifanya interview na EBONY FM Radio Iringa town
                                          Anu akiwa mjengoni Ebony Fm Radio Iringa
                                          Mussa Ebony presenter
                                          Host wa kipindi cha michezo EBONY FM RADIO
              Kutoka kushoto ni Mr Kamugisha, Juddy, Danta na Soggy Doggy Hunter EBONY FM RADIO
                                       Timu ya MUM ikipiga zoezi la nguvu viwanja vya Tumaini

           Hichi ndicho kikosi cha MUM kilichoibamiza Tumaini mabao 4-1 kwenye uwanja wao wa nyumbani Iringa semtema..

                 Hizo ni shangwe za ushindi wa timu ya MUM kutoka Morogoro to Iringa kwenda kuwatandika Tumaini goli 4-1
    Ilikuwa ni furaha sana kurudi moro na ushindi wa nguvu amani kwenu wachezaji wote wa MUM TEAM